Hosea 2:15


15 aHuko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,
nami nitalifanya Bonde la Akori
Akori maana yake ni Taabu.

mlango wa matumaini.
Huko ataimba kama alivyofanya katika siku za ujana wake,
kama siku zile alizotoka Misri.

Copyright information for SwhKC